Radio Free Africa-The Sound Of Africa: Home page
 
Radio Free Africa Poll
Serikali kuzifutia kodi NGOS na Mashirika ya Kidini, nini mtazamo wako?

Wamefanya vizuri
Wamewaogopa
Wangefuta tu
Sijui


View Results
Radio Free Africa Limited. Copyright @ 2008. All rights reserved
 
::Related links

Mbunge wa Jimbo la Bariadi Mashariki, Mh. John Cheyo wa pili  kushoto, akipiga stori wenzake kutoka kulia ni Bw. Kingunge Ngombale Mwiru (Mbunge wa kuteuliwa), Bw. Lekule Laizer (Longido) na Bw. Mbarouk Mandoro (Mkinga).. .... Picha zaidi
 
Website  by Dullonet Tanzania

Mahakama ya Kadhi yazikwa rasmi.
SERIKALI imetoa kauli ya kusitisha kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini na sasa mfumo mpya wa sheria wa kukidhi haja ya jamii ya Waislamu, utaingizwa katika sheria za nchi katika mwaka huu wa fedha.

Sambamba na hilo, imetangaza nia ya kubadilisha mfumo wa kujiunga na Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo (Law School), ambapo si wanafunzi wote waliomaliza shahada ya kwanza ya Sheria watakaoruhusiwa kujiunga nayo, huku ikiweka wazi idadi ya talaka zilizotolewa mwaka jana na mzigo wa kesi ‘unavyoiumiza’ Mahakama nchini. ...  . Habari zaidi
Na Mwandishi Maalum, Dodoma.
 
 
RADIO FREE AFRICA- NEWS HEADLINES
 
INTERNATIONAL NEWS
Maafisa nchini Iran waondoa uwezekano wa kufuta matokeo.
Chombo kikuu kinachoangalia uchaguzi nchini Iran kimeondoa uwezekano wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais huku viongozi wa dunia wakieleza wasi wasi wao kuhusu hali nchini humo.. ....  ..Zaidi











Dar es Salaam Weather Forecast, United Republic Of Tanzania
Leo::
Email: info@radiofreeafricatz.com
COUNTRY  NEWS
POLITICAL NEWS
Picha hii inawaonyesha waungaji mkono kiongozi wa upinzani Mir Hossein Mousavi wakiandamana mjini Tehran.



Kufuatia kukithiri kwa mapigano, IGP Mwema apanga kuongeza ulinzi Tarime, Rorya.
Na Mwandishi Maalum
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Saidi Mwema, amesema ataongeza kiwango cha ulinzi katika maeneo ya wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara ili kukomesha wizi wa mifugo na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.  . ....... zaidi
WEATHER UPDATE  NEWS
 
 
Wasemavyo Wasikilizaji na  Wasomaji
Kutoka Bungeni Spika Sitta amtetea Mhe. Selelii
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, amesema kuwa hoja ya Mbunge wa Nzega, Lucas Selelii (CCM), kwamba fedha za ujenzi wa barabara ya Chalinze, Segera hadi Tanga, zilianza kutumika kabla ya kuidhinishwa na Bunge, ni ya msingi kutokana na utata wa takwimu uliojitokeza. .   ... zaidi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Na Mwandishi wa DW
Sikiliza Taarifa ya Habari Radio Free Africa kila siku
SPORTS NEWS
Michael Jackson afariki dunia.
Na Los Angeles, Marekani.
Mwanamuziki maarufu wa mtindo wa Pop, Michael Jackson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50. Imeelezwa alikimbizwa hospitalini huko Los Angeles, Marekani, baada ya kupata matatizo yanayodhaniwa kuwa ya moyo...... . .zaidi
Google Groups
matukio
Visit this group
online counter
Mwanamuziki wa mtindo wa Pop, Michael Jackson ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na IGP Saidi Mwema, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Musoma kwa ajili ya kilele cha sherehe za Siku ya Serikali za Mitaa , wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Gaudencia Kabaka
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta