Radio Free Africa-The Sound Of Africa: Home page
Radio Free Africa Limited. Copyright @ 2009. All rights reserved
Annan awataka viongozi wa Afrika waheshimu sera za waliowatangulia madarakani.
VIONGOZI  wa Afrika wamesema wakati wa maneno umekwisha na sasa  kuna haja ya kubadili mikakati ya kuinua kilimo ili kiweze kuleta tija na manufaa kwa wakazi wa bara hili.

Mtazamo huo umeonekana katika mjadala maalaumu ulioendeshwa jana na mtangazaji wa CCN, Bi. Tumi Mangkabo wakati wakijadili Njia za Kufanikisha Mapinduzi ya Kilimo kwenye Mkutano wenye lengo la kuleta Mapinduzi ya Kilimo Barani Afrika jijini Accra, Ghana. ......  zaidi
Na Mwandishi wa Waziri Mkuu, Accra Ghana.
RADIO FREE AFRICA- NEWS HEADLINES
Leo::
Email: info@radiofreeafricatz.com
Mpaka : Iringa ndiyo wazalishaji wa nyanya nchini kwa asilimia sabini.
online counter
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makmu wa Rais wa Ghan, John Dramani Mahama (kushoto) wakimsikiliza Rais wa Zamani wa Nigeria , O. Obasanjo katika mkutano wa kujadili mapinduzi ya kijani barani Afrika ulioanza jana Mjini Accra Ghjana Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.  . Picha Zaidi






Taasisi ya WAMA yatoa mafunzo kwa waandishi wa habari 22 Tabora.
::Related links

Clinton akutana na viongozi wa Israel na Palestina mjini Washington .


Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani Hillary Clinton amekutana na viongozi wa Israel na wa Palestina mjini Washington, Marekani. Mkutano umegubikwa na mauaji ya Waisraeli wanne katika eneo la Ukingo wa Magahribi  zaidi
Rais Obama atoa hotuba ya kukamilisha vita vya Iraq.
Washington, Marekani.
Rais wa Marekani alitangaza kukamilika kwa mashambulio ya Marekani nchini Iraq akisema lazima Wairaqi waamue mwelekeo wao kwa sababu Marekani inalenga kukabiliana na Al-Qaeda nchini Afghanistan na kujenga upya taifa lao.    zaidi

Na Mawazo Malembeka,Iringa  .
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Iringa,Getrude Mpaka amesema Iringa inazalisha zaidi ya asilimia sabini (70%) ya nyanya zote zinazolishwa hapa nchini. zaidi
Asasi isiyokuwa ya kiserikali ya wanawake na maendeleo (WAMA) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari 22 mkoani Tabora, ili kuweza kusaidia jamii ipunguze kiwango cha   zaidi
Baada ya kupata ushindi, Redknapp asema haogopi timu yoyote.
London , Uingereza.

Meneja wa Tottenham Harry Redknapp amesema wapo tayari kukabiliana na timu yoyote katika hatua ya makundi kuwania Ubingwa wa Ulaya. zaidi
Kamanda Sirro aagiza Shekhe akamatwe baada ya kuhusishwa mauaji ya raia.
Jeshi la Magereza latakiwa kuzingatia mfumo wa Teknohama ili liwe la kisayansi.
JESHI la Magereza Tanzania Bara, limetakiwa kuzingatia sheria ,kanuni na maadili ya uendeshaji wa shughuli za wafungwa kulingana na mfumo uliopo duniani kote wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEKNOHAMA) kwenye maeneo mbalimbali ya jeshi hilo.  zaidi
Na Magreth Kinabo, Maelezo.
Ligi Kuu ya Vodacom kuonyeshwa moja kwa moja na StarTV.
Na Hassan Mvula , Dar es Salaam.
Kituo cha Star Tv kimefanikiwa kuibuka kidedea katika mchakato uliofanyika hivi karibu wa kuteua kituo cha Tv kitakachorusha moja kwa moja michuano ya ligi Kuu soka Tanzania bara kwa msimu wa 2010/11. zaidi
Wasemavyo Wasikilizaji na  Wasomaji
Radio Free Africa- Habari katika Sauti.
Na Salum Maige, Geita.
Siku moja baada ya kutokea mauaji ya kutisha ya mkazi mmoja wa mtaa wa misheni Bwana Mapande Mwinamila(38) yanayodaiwa kuongozwa na Shekhe Mkuu wa Wilaya ya Geita Mwanza Had Yusuph Kabaju zaidi

Na Sunday Kabaye, Tabora.
Washington, Marekani.